Simbachawene akifungia kiwanda cha nondo kwa ukiukwaji sheria mazingira
























Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais(Muungano na Mazingira),George Simbachawene(kulia),akitoa maelekezo kwa mmiliki wa kiwanda cha Fujian Hexingwang Industry  katika ziara ya siku moja alipotembelea kiwanda hicho kilichopo Kisemvule Mkoa wa Pwani na kukifungia kwa kipindi cha mwezi kwa kusababisha uchafuzi wa mazingira katika makazi ya watu na kukiuka sheria na kanuni za mazingira.



Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais(Muungano na Mazingira),George Simbachawene(kulia) akimsikiliza mmoja wa watendaji wa kiwanda cha kuzalisha nondo cha Fujian Hexingwang Industry kilichopo Kisemvule Mkoa wa Pwani kabla ya kukifungia kiwanda hicho kwa kipindi cha mwezi kwa kusababisha uchafuzi wa mazingira katika makazi ya watu na kukiuka sheria na kanuni za mazingira.




Comments

Popular posts from this blog

Mbeya agro-processors get 5 acres to build 50 industries

Tanzania praised for being keen on fertilisers going to farmers

Gold mine in Songwe wins ministerial praise for protecting environment