Mkuu wa Mkoa Pwani asifu juhudi za mmiliki wa Makampuni ya Global Packaging na Wande Printing
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo(kushoto) akizungumza jambo na Mwakilishi wa Makampuni ya Global Packaging Ltd na Wande Printing Ltd Bw. Benno Mwitumba(wapili kulia) na wadau wengine katika eneo la ujenzi wa ukumbi na ofisi za chama cha mapinduzi (CCM) mkoa wa Pwani unajengwa kwenye ofisi za CCM Mkoa mara baada ya kukabidhiwa mifuko ya 200 ya saruji. Mkuu wa Mkoa wa Pwani , Mhandisi Evarist Ndikilo (kulia) akizungumza mara baada ya kumalizika kwa hafla fupi ya makabidhiano ya mifuko 200 ya saruji iliyofanyika kwenye makao makuu ya Chama cha Mpinduzi Mkoani Pwani lengo ikiwa ni kusaidia ujenzi wa ukumbi na ofisi ya Chama hicho. Wapili kulia ni mwakilishi wa Makampuni ya Global Packaging Ltd na Wande Printing Ltd Bw. Benno Mwitumba, kushoto ni mshauri wa Uchumi kutoka Global Packaging Ltd Bw. Adoh Mapunda na wapili kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM Mkoa wa Pwani, Bw. Ally Makoa. Mkuu wa Mkoa wa Pwani , Mhandisi Evarist Ndikilo (kulia) akizun
Comments
Post a Comment