kikundi cha uhifadhi wa mazingira cha Pwani Environmental Group

Kaimu  Mkurugenzi  Mtendaji  Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)  Dkt. Vedast Makota ( katikati)  akizunguzma katika hafla ya uzinduzi wa kikundi cha uhifadhi wa mazingira cha Pwani Environmental Group cha Tegeta jijini Dar es Salaam. (Kulia) ni Mama mlezi  wa kikundi  Bi. Josephine Zimba na Mwenyekiti  wa kikundi  Bi. Christina Kumwenda (kulia).
Kaimu  Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)  Dkt. Vedast Makota ( wasita kushoto ) akiwa katika picha ya pamoja na wanachama wa kikundi cha Pwani Environmental Group kinachojishughulisha na uhifadhi wa mazingira baada ya uzinduzi wa kikundi hicho hivi karibuni Tegeta jijini Dar es Salaam.
Mama mlezi  wa kikundi cha  Pwani  Environmental Group Bi. Josephine Zimba  akinadi khanga katika mnada wa kuchangia mgfuko wa kikundi kwenye  hafla ya kuzindua kikundi cha wakinamama cha kuifadhi na kutunza mazingira Tegeta jijini Dar es Salaam hivi karibuni.


Comments

Popular posts from this blog

Mbeya agro-processors get 5 acres to build 50 industries

Tanzania praised for being keen on fertilisers going to farmers

Majaliwa aitaka YARA kuongeza uwekezaji katika sekta ya kilimo..